Numbers 21:21-22

21 aIsraeli akawatuma wajumbe kumwambia Sihoni mfalme wa Waamori:

22

b“Uturuhusu tupite katika nchi yako. Hatutageuka kando kwenda katika mashamba au mashamba ya mizabibu, ama kunywa maji kutoka kisima chochote. Tutasafiri kwenye njia kuu ya mfalme hata tutakapokuwa tumekwisha kupita katika nchi yako.”

Copyright information for SwhKC